Kwa usaidizi na nguvu zinazotolewa na Allah Ta’ala (Mwenyezi Mungu) mwenye kulinda ulimwengu na vilivyomo vyote, na ndiye anayetoa neema zote na zawadi na ndie asiyelala, sasa tunaanza kufafanua maneno ya Mtume wetu “Sall-Allahu ta’ala alaihi wa sallam”.
Kipenzi chetu Hadrat umar ibn al-Khattab radiya-Allahu ta’ala anhu na ambae alikuwa kiongozi shujaa wa Uisilam. Na mwenye cheo cha juu miongoni mwa masahaba zake mtume Sall-Allahu ta’ala alaihi wasallam, na alikuwa marufu kwa ukweli wake anaeleza kwamba:
Ilikuwa ni siku ambayo badhi yetu (masahaba) tulikuepo mbele ya Mtume Sall-Allahu ta’ala alaihi wa sallam, siku hiyo na mda huo ulikuwa mwenye baraka, siku yenye thaman kadir kwamba kila mtu angependa kuishi katika siku hiyo mara kwa mara akipata fursa tena. Katika siku hiyo, sote tulijaa furaha na heshima ya kuwa kukusanyika pamoja (masahaba) za Mtume na kukaa karibu nae na tukaona uso wake na maneno yake mazuri ambayo yalikuwa ni chakula cha roho na kutuliza nyoyo. Kusisitiza thamani, heshima ya siku hiyo, Masahaba waliobarikiwa wanasema: ” ilikuwa ni siku....” ni siku ambayo haikadiriki kwasababu ni siku ambayo Jibril alaihi s-salam alijitokeza mbele ya binadamu na sote tukamuona, tukapata kusikia sauti yake na kusikia elimu nzuri mtu anayopenda kujisikilizia mwenyewe kwa makini kupitia mdomo wa Rasulullah sall-Allah ta’ala alaihi wa sallam
Jazakumullah all khair. In sha Allah I will share ur page with my friends and family.
change.it.to.the.better
👍Very nice page keep going ❤️
I'll share it in my story ✨
MuhammadRajibTalukder
MuhammadRajibTalukder
Alhamdulillah
All praiseis due to Allah
Leila Roble
Endless bliss
💜💜
islam_in_our_hearts / لا إله إلا الله
Let’s spread the love of islam.
ahmed ismail mohamed
ماشاء الله الله ينور عليكم ويزيدكم علما
اخيكم من موقع رييل ستورى احيكم على هذا الطرح
nalaaaaa.a / nlaprrr
Thank you much islami book 💓💓💓💓💓💓💓💓💓
I hope your business be better and more famous in this world..
May Allah always give you a lot of of happiness in this world and the here after
Aaameeen
Umar farooq Orakzai
Mashallah. Whoever is the owner must be a blessed man
Gülsüm Kandil / kandilgulsum
Thank you to share and recommend your page I should read the books so I can decide later. But I hope the one who does goodness Allah reward them with goodness as well.